Sunday, January 31, 2016
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA WAKUU WA AFRIKA MASUALA YA USALAMA BARANI AFRIKA.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Viwanda la
Umoja wa Mataifa UNIDO lenye makamo makuu yake Nchini Vienna Ausria Bw.
Li Yong walipokuta katika Ofisi za Umoja wa Afrika (AU) Addis Ababa leo
Januari 31,2016, Makamu wa Rais yupo Nchini Addis Ababa Ethiopia
kumuwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za
Afrika unaojadili kuhusu masuala ya Usalama Barani Afrika.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akizungumza na Ujumbe wa Shirika la Maendeleo la Viwanda la Umoja wa
Mataifa lenye Makao Makuu yake Nchini Vienna Austria uliongozwa na
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo Bw. Li Yong, leo Januari 31,2016 kwenye
Ofisi za Umoja wa Afrika (AU) Addis Ababa, katika mazungumzo yao
Viongozi hao walizungumzia juu ya kuendeleza ushirikiano kwenye
maendeleo ya Viwanda utakaotolewa na UNIDO kwa Serikali ya Tanzania ili
kuifanya Tanzania iwe Nchi ya Viwanda kuanzia mwaka 2015/2020, ambapo
Mkurugenzi huyo ameahidi kuitembelea Tanzania wakati wowote kuanzia
sasa. Makamu wa Rais yupo Nchini Addis Ababa Ethiopia kumuwakilisha Rais
John Magufuli kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaojadili
kuhusu masuala ya Usalama Barani Afrika.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akipokea taarifa yenye mipango ya Maendeleo ya Viwanda kutoka kwa
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Viwanda la Umoja wa Mataifa
Bw. Li Yong baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao yaliyofanyika leo
Januari 31,2016 katika Ofisi za Umoja wa Afrika (AU) Addis Ababa, Makamu
wa Rais yupo Nchini Addis Ababa Ethiopia kumuwakilisha Rais John
Magufuli kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaojadili kuhusu
masuala ya Usalama Barani Afrika.(Picha na OMR)
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amtembelea Rais Mstaafu Mkapa.
Picha
mbalimbali zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu wa
Awamu ya Tatu Mheshimiwa Benjamin Wiliam Mkapa. Rais Dkt. Magufuli
alikwenda kumsalimia Rais mstaafu Mkapa nyumbani kwake Masaki jijini Dar
es Salaam mwishoni mwa wiki.
Picha na IKULU.
JAJI MKUU MHE MOHAMED CHANDE .OTHMAN AFUNGUA RASMI MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA NCHINI MWAKA 2016
Watumishi wa Mahakama
ya Tanzania na wadau mbalimbali wa wakiingia katika viwanja vya Mnazi mmoja kwa
maandamano leo jijini Dar es salaam wakati wa Ufunguzi wa maadhimisho ya Wiki
ya Sheria.
Watumishi wa Taasisi ya
Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Askari wa Jeshi la Magereza na
Watumishi wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) wakiwa wamebeba mabango ya
Ofisi zao wakati wa Ufunguzi wa maadhimisho ya Wiki ya Sheria Nchini leo jijini Dar es salaam.
Jaji Mkuu wa Tanzania
Mhe. Mohamed Chande Othman (Mwenye T-shirt nyeupe kulia), Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam
Said Mecki Sadiki (wa Pili kulia) na Watendaji wa Mahakama ya Tanzania
wakishiriki mazoezi ya viungo ya pamoja na wadau mbalimbali wa Mahakama leo
katika viwanja vya Mnazi Mmoja wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Sheria Nchini.
Jaji Kiongozi Mhe.
Shaban Lila (katikati) akiongoza mazoezi ya pamoja ya Wadau wa Mahakama leo
katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam wakati wa Ufunguzi wa Wiki ya Sheria nchini.
Jaji Mkuu wa Tanzania
Mhe. Mohamed Chande Othman akizungumza na wadau mbalimbali wa Mahakama waliohudhuria
Ufunguzi wa maadhimisho ya Wiki ya Sheria mwaka 2016 katika viwanja vya Mnazi mmoja leo jijini
Dar es salaam.
Baadhi ya Wanachi wakifuatilia
matukio mbalimbali wakati wa Ufunguzi wa maadhimisho ya Wiki ya Sheria.
Jaji Mkuu wa Tanzania
Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Tume ya
Utumishi wa Mahakama wakati wa Ufunguzi wa maadhimisho ya Wiki ya Sheria nchini leo jijini Dar es salaam.
Wengine katika picha ni Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omary Othman Makungu
(wa tatu kutoka kulia), Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki (wa
tatu kutoka kushoto) na Jaji Kiongozi Mhe. Shaban Lila (wa pili kutoka kushoto).
Jaji Mkuu wa Tanzania
Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na Watendaji wa
Mahakama, Viongozi na Askari wa Jeshi la Polisi wakati wa Ufunguzi wa Wiki ya
Sheria leo jijini Dar es salaam.
Jaji Mkuu wa Tanzania
Mhe. Mohamed Chande Othman (katikati) Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki
(wa tatu kutoka kushoto), Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omary Othman Makungu (wa
tatu kutoka kulia) na Jaji Kiongozi Mhe. Shaban Lila (wa pili kushoto) wakiwa
katika picha ya pamoja na Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA) leo katika
viwanja vya Mnazi Mmmoja wakati wa Ufunguzi wa maadhimisho ya Wiki ya Sheria.
Jaji Mkuu wa Tanzania
Mhe. Mohamed Chande Othman (katikati) Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki
(wa tatu kutoka kushoto), Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omary Othman Makungu ( wa
tatu kutoka kulia) na Jaji Kiongozi Mhe. Shaban Lila ( wa pili kushoto) wakiwa
katika picha ya pamoja na Baadhi ya
Watendaji na Watumishi wa Mahakama Kuu ya Zanzibar.
Jaji
Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa
katika picha ya pamoja na viongozi wa Ofisi ya Msajili wa Mahakama,
Wakuu wa Idara na Vitengo wa Mahakama ya Tanzania leo wakati wa
Ufunguzi wa Wiki ya Sheria. Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam
Saidi Mecki Sadiki (wa tatu kutoka kushoto).
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa
katika picha ya pamoja na Askari wa Jeshi la Magereza leo wakati wa Ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Sheria nchini.
Jaji Mkuu wa Tanzania
Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo
mbalimbali vya Mahakama ya Tanzania wakati wa Ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki
ya Sheria nchini.
Jaji Mkuu wa Tanzania
Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na Watumishi wa
Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS).
MAJALIWA AHUDHURIA IBADA YA KUMUINGIZA KAZINI MKUU WA KKKT TANZANIA ASKOFU SHOO MJINI MOSHI.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea picha aliyopewa na Askofu Mkuu Mpya wa
Kanisa la Kiinjili la Kilutheli,Askofu Frederck Shoo katika ibada ya
kumuingiza kazini askofu huyo ilyofanyika kwenye kanisa kuu la KKKT
mjini Moshi Januari 31, 2016.
Baadhi
ya waalikwa walioshiriki katika ibada ya kumuingiza kazini Mkuu wa
Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo
iliyofanyika kwenye kanisa kuu la KKKT mjini Moshi Januari 31, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizunguza katika ibada ya kumuingiza kazini Mkuu
wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick
Shoo iliyofanyika kwenye kanisa Kuu la KKKT mjini Moshi Januari 31,
2016.
Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa
katika ibada ya kumuingiza kazini Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la
Kilutheri Tanzania, Askofu Frederick Shoo kwenye kanisa Kuu la KKKT
mjini Moshi Januari 31, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Askofu Mkuu wa
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo
(kulia) na Askofu Mkuu wa KKKT Mstaafu Alex Malasusa baada ya ibada ya
kumuingiza kazini Askofu Shoo iliyofanyika kwenye Kanisa Kuu la KKKT
mjini Moshi Januari 31, 2016.
(PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Wachina waishio nchini waadhimisha mwaka mpya 2016 wa "Ngedere"
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Nape Nnauye akifungua Mwaka Mpya Kichina wa 2016 unaojulikana kama mwaka wa
“Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo mwishoni mwa wiki viwanja vya
Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam. Kushoto ni mshereheshaji ajiyejitambulisha
kwa jina la “Sharobaro”.
Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye (kushoto) akibadilishana mawazo na Waziri
Mkuu Mtaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Salim Ahmed Salim
(kulia) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016 unaojulikana
kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo mwishoni mwa wiki viwanja
vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.
Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye (kulia) akifuatilia michezo mbalimbali
wakati wa wa hafla ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016 unaojulikana kama
mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo mwishoni mwa wiki viwanja
vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mshauri wa Mambo ya Utamaduni
kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania Gao Wei.
Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye (katikati) akifuatilia michezo
mbalimbali wakati wa wa hafla ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016
unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo
mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam. Kulia ni Waziri
Mkuu Mtaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Salim Dkt. Ahmed Salim na
kushoto ni Mshauri wa Mambo ya Utamaduni kutoka Ubalozi wa China nchini
Tanzania Gao Wei.
Mawaziri Wakuu Wastaafu wa Serikali ya Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. Salim Ahmed Salim (kulia) na Mhe. Mizengo Pinda (kushoto)
wakisalimiana wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016
unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo
mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam
Mawaziri Wakuu Wastaafu wa Serikali ya Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt Salim Ahmed Salim (kulia) na Mhe. Mizengo Pinda (kushoto)
wakisalimiana wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016
unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo
mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam
Baadhi ya wageni waliohudhuria hafla ya uzinduzi
wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016 unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na
utamaduni wa nchi hiyo mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es
salaam.
Baadhi ya wageni waliohudhuria hafla ya uzinduzi
wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016 unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na
utamaduni wa nchi hiyo mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es
salaam.
Baadhi ya wageni waliohudhuria hafla ya uzinduzi
wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016 unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na
utamaduni wa nchi hiyo mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es
salaam.
Baadhi ya raia wa Kichina wakiendelea na
kujipamba kabla ya kuanza kwa hafla ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016
unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo
mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.
Baadhi ya raia wa Kichina wakiendelea na
kujipamba kabla ya kuanza kwa hafla ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016
unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo
mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.
Baadhi ya raia wa Kichina wakiendelea na
kujipamba kabla ya kuanza kwa hafla ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016
unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo
mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.
Baadhi ya michezo iliyooneshwa wakati wa hafla
ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016 unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere”
kulingana na utamaduni wa nchi hiyo mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja
jijini Dar es salaam.
Baadhi ya michezo iliyooneshwa wakati wa hafla
ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016 unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere”
kulingana na utamaduni wa nchi hiyo mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja
jijini Dar es salaam.
Baadhi ya michezo iliyooneshwa wakati wa hafla
ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016 unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere”
kulingana na utamaduni wa nchi hiyo mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja
jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu Mtaafu wa
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akichanganya tiketi
za bahatinasibu wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mwaka Mpya Kichina wa 2016
unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo
mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.
Fashifashi
na fataki zilizowashwa kuashiria kuzinduliwa kwa Mwaka Mpya Kichina wa
2016 unaojulikana kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa
nchi hiyo mwishoni mwa wiki viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es
salaam.
Fashifashi na fataki
zilizowashwa kuashiria kuzinduliwa kwa Mwaka Mpya Kichina wa 2016 unaojulikana
kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo mwishoni mwa wiki
viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.
Fashifashi na fataki
zilizowashwa kuashiria kuzinduliwa kwa Mwaka Mpya Kichina wa 2016 unaojulikana
kama mwaka wa “Ngedere” kulingana na utamaduni wa nchi hiyo mwishoni mwa wiki
viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam. Picha na Eleuteri
Mangi-MAELEZO
Subscribe to:
Posts (Atom)