TRA

TRA

Sunday, August 27, 2017

MASTAA WALIOSHUHUDIA LIVE PAMBANO LA MAYWEATHER NA MC GREGOR

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Floyd Mayweather amethibitisha kuwa bondia asiyepigika baada ya kumshinda kwa TKO dhidi ya Conor McGregor katika round 10 ambapo baada ya mchezo huo bondia huyo alisisitiza kuwa hatopigana tena.
Kwa ushindi huo Mayweather anakuwa amecheza mapambano 50 na hajapoteza hata pambano moja na ameweka wazi kuwa hatopigana tena.

Pambano hilo lilishuhudiwa na watu wapatao 20,000 katika ukumbi wa T-Mobile Arena, Las Vegas miongoni mwao wakiwa mastaa wa filamu, muziki na watu maarufu ambao walisafiri kwenda kuushuhudia ambapo miongoni mwao ni Bruce Willis, Leonardo DiCaprio, Jennifer Lopez, Vanessa Hudgens, Demi Lovato na LeBron James.

Mwigizaji na mwanamuziki Jennifer Lopez na mchezaji wa zamani wa MLB Alex Rodriguez

Leonardo DiCaprio

Bruce Willis akifuatilia pambano

Mastaa LeBron James na Mike Tyson wakifuatilia kwa makini pambano

Mwigizaji staa kutoka Hollywood Gerard Butler naye hakukaa nyumbani

Mwigazji Chris Hemsworth alikuwepo kwenye pambano Mayweather vs McGregor

LeBron James akishuhudia pambano Mayweather vs McGregor. Nyuma ya staa huyo wa Cleveland Cavaliers ni Mike Tyson

P Diddy

Jamie Foxx, akiwa T-Mobile Arena, Las Vegas

Mwigizaji Charlize Theron akifuatilia kwa makini Floyd Mayweather Jr. vs Conor McGregor

Mmiliki wa NFL Robert Kraft alisafiri kwa ndege binafsi akiwa na J-Lo na A-Rod

Cedric The Entertainer (kushoto) na Akon hawakubaki nyumbani

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger