TRA

TRA

Saturday, April 16, 2016

INAFRIKA BAND YAFANYA KWELI NASHVILLE, TENNESSEE

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !




Wanamuziki wa bendi ya Inafrika toka Tanzania wakipata picha ya kumbukumbu Nashville jimbo la Tennessee ambapo wapo tangia March 18, 2016mpaka April 18, 2016 kwenye tamasha linaloandaliwa kila mwaka na Dolly Parton linalofanyika kwenye park iitwyo Dollywood iliyopo mjini humo. Tamasha hilo hushirikisha bendi mbalimbali kutoka mabara yote, Bara la Afrika liliwakilishwa na Inafrika Bendi kutoka Tanzania.

Wanamuziki wa Inafrika Bendi wakiwa katika picha ya pamoja na Dolly Parton.
Wanamuziki wa Inafrika wakipata picha ya kumbukumbu kwenye bango la Dollywood Park.

Picha ya pamoja.

Author:

«
Next
MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI
»
Previous
MWANAFUNZI MTANZANIA ASHIRIKI ONYESHO LA UBUNIFU LILILOANDALIWA NA RAIS BARACK OBAMA

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger