TRA

TRA

Tuesday, June 28, 2016

Lissu na wenzake wapandishwa kizimbani Dar

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



13511054_10209610213638192_5659084205571097646_n
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (katikati) na Mhariri wa Mawio, Simon Mkina (wa poli kutoka kushoto mwenye miwani) na mchapishaji wao Ismail Mahboob (wa tatu kutoka kushoto mbele).
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na Mhariri wa Mawio, Simon Mkina na mchapishaji wao Ismail Mahboob jana wamepandishwa tena mahakamani Kisutu, Dar kwa uchochezi.
Kwenye shitaka hilo, Lissu pamoja na washitakiwa wenzake wanadaiwa kufanya makosa mbalimbali ikiwa ni pamoja na uchochezi kupitia Gazeti la Mawio la Januari 14, 2016.
Kwenye gazeti hilo lililoandikwa kichwa cha habari ‘Machafuko yaja Zanzibar’ Lissu alinukuliwa kama mchangiaji wa gazeti hilo ambapo tayari limefutwa na serikali.
Hii ni mara ya pili washitakiwa hao kupandishwa kizimbani. Kesi hiyo imeahirishwa hadi Julai 11, 2016.GPL(P.T)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger