TRA

TRA

Monday, October 24, 2016

RAIS DKT MAGUFULI AMKARIBISHA MFALME MOHAMED VI WA MOROCCO IKULU

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akimlaki  mgeni wake Mtukufu Mfalme wa Morocco Mohamed VI alipowasili kwa dhifa ya Taifa Ikulu

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akiwa  mgeni wake Mtukufu Mfalme wa Morocco Mohamed VI alipowasili kwa dhifa ya Taifa Ikulu

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  na   mgeni wake Mtukufu Mfalme wa Morocco Mohamed VI na meza kuu wakisimama wakati wa nyimbo za Taifa kwenye  dhifa ya Taifa Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  na   mgeni wake Mtukufu Mfalme wa Morocco Mohamed VI na meza kuu wakisimama wakati wa nyimbo za Taifa kwenye  dhifa ya Taifa Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  na   mgeni wake Mtukufu Mfalme wa Morocco Mohamed VI na meza kuu wakisimama wakati wa nyimbo za Taifa kwenye  dhifa ya Taifa Ikulu

Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba na wageni wakati wa nyimbo za Taifa

Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na wageni 

Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume na wageni

Mawaziri na wageni

Wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za Taifa

Wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za Taifa

Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara na Wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za Taifa

Wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za Taifa

Wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za Taifa


Wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za Taifa

Wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za Taifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa meza kuu na  mgeni wake Mtukufu Mfalme wa Morocco Mohamed VI wakati wa dhifa ya Taifa Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa meza kuu na  mgeni wake Mtukufu Mfalme wa Morocco Mohamed VI wakati wa dhifa ya Taifa Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa  mgeni wake Mtukufu Mfalme wa Morocco Mohamed VI wakati wa dhifa ya Taifa Ikulu






Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger