• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Tuesday, May 9, 2017

Home > > Kiir amfukuza mkuu wa majeshi

Kiir amfukuza mkuu wa majeshi

at 11:29 PM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Rais Salva Kiir wa Sudan kusini amemfukuza kazi mkuu wa Jeshi la nchi hiyo Jenerali Paul Malong.

Hakuna sababu yoyote iliyotajwa katika vyombo vya habari vya serikali, lakini katika siku za hivi karibuni maafisa wengi wa ngazi za juu wamekuwa wakijiuzulu na pia wengine kutoka serikali ya Sudan Kusini.

Mwandishi wa BBC anasema Jenerali Malong anaonekana na Wasudan wengi kama mtu mwenye nguvu, na wanasubiri kuona atakavyopokea kuondolewa katika nafasi hiyo.


                          Rais Salva Kiir 

Wengi wamekuwa na wasiwasi kuhusiana na upendeleo wa kikabila na uhalifu wa kivita katika vita vya wenyewe kwa wenyewe ambayo yameiingiza Sudan kusini katika mgogoro uliodumu kwa miaka minne sasa.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • DIONIS MALINZI WA BMT NAYE "ATUMBULIWA",
      NA SHAMIMU NYAKI WHUSM Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe,  amesitisha uteuzi wa Mwenyekiti...
  • WAKULIMA KUNUFAIKA NA BWAWA LA KILOMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
      Mkuu wa Wilaya ya Geita  Mwl Herman Kapufi akikagua Shamba la Mahindi kwenye Kijiji cha Nyang'uku . Mwenyekiti...
  • Njiwa aliyetumiwa kusafirisha mihadarati
      Maafisa waligundua ...

Popular Posts

  • DIONIS MALINZI WA BMT NAYE "ATUMBULIWA",
    DIONIS MALINZI WA BMT NAYE "ATUMBULIWA",
      NA SHAMIMU NYAKI WHUSM Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe,  amesitisha uteuzi wa Mwenyekiti...
  • WAKULIMA KUNUFAIKA NA BWAWA LA KILOMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
    WAKULIMA KUNUFAIKA NA BWAWA LA KILOMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
      Mkuu wa Wilaya ya Geita  Mwl Herman Kapufi akikagua Shamba la Mahindi kwenye Kijiji cha Nyang'uku . Mwenyekiti...
  • Njiwa aliyetumiwa kusafirisha mihadarati
    Njiwa aliyetumiwa kusafirisha mihadarati
      Maafisa waligundua ...
  • MBUNGE MUSSA NA MKEWE WASHIRIKI ZOEZI LA MSARAGAMBO WA MTARO KATA YA MAWENI JIJINI TANGA
    MBUNGE MUSSA NA MKEWE WASHIRIKI ZOEZI LA MSARAGAMBO WA MTARO KATA YA MAWENI JIJINI TANGA
    Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku akichukua sururu kwa ajiliu ya kushiriki kuchimba mtaro wa   mtaa wa Kichangan...
  • SINGIDA UNITED YAIBOMOA KAIZER CHIEF, YAMTWAA MSHAMBULIAJI HATARI KUTOKA ZIMBABWE
    SINGIDA UNITED YAIBOMOA KAIZER CHIEF, YAMTWAA MSHAMBULIAJI HATARI KUTOKA ZIMBABWE
    Mkurugenzi Mtendaji wa timu ya Singida United Festo Sanga  (kushoto) na  Mkurugenzi Mkuu  wa kampuni ya YARA Alexander Macedo wakibad...
  • Waziri Maghembe 'kuibeba' Rock City Marathon
    Waziri Maghembe 'kuibeba' Rock City Marathon
    Dar es Salaam;WAZIRI wa Maliasili na Utalii Prof Jumanne Maghembe mwishoni mwa wiki hii alizindua rasmi usajili wa msimu wa nan...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger