• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Home > > Volvo kuanza kuunda magari yanayotumia umeme ufikapo mwaka 2019

Volvo kuanza kuunda magari yanayotumia umeme ufikapo mwaka 2019

at 6:45 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

    Kampuni ya kuunda magari ya Volvo imesema kuwa magari yake mapya yatakuwa yanatumia umeme kuanzia mwaka 2019.

    Kampuni hiyo ya kichina imekuwa kampuni ya kwanza ya zamani iliyoanza kusitisha uundaji wa magari ya zamani yanayotumia mafuta.

    Ina mipango ya kuzindua aina tano ya magari yanayotumia umeme kati ya mwaka 2019 na 2021 na mengine yanayotumia umeme na mafuta.
     Gari la Volvo kwenyr maonyesho China

    Lakini pia itakuwa ikiunda magari ya zamani yanayotuumia mafuta.
    • Uber teksi kuzindua magari yanayojiendesha
    • Volvo yashindwa kuongoza kimauzo Sweden
    • Jinsi magari yasiyo na dereva hukanganywa na kangaroo.
    • Uber yaondoa magari yanayojiendesha barabarani
    Volvo ina mipango ya kuuza magari milioni moja yanayotumia umeme ifikapo mwaka 2025.

    "Tangazo hili liaadhimisha mwanzo wa misho wa injini za zinazotumia mafuta," amesema Hakan Samuelsson, mkurugenzi mkuu wa kitengo cha kuunda magari ya Volvo.

    Hii ni baada ya kampuni ya Marekani ya Tesla kutangaza Jumapili kuwa itaanza kuuza magari yake yanayotumia umeme ya Model 3 ifikapo mishoni mwa mwezi huu.

    Elon Musk, mwanzilishi wa Tesla alifanikiwa kuunda magari 20,000 ya Model 3 kila mwezi hadi Disemba iliyopita.
    Unknown

    Author: Unknown

    SHARE
    • Share
    • Tweet
    • Share
    • Pin
    • Share
    «
    Next
    Newer Post
    »
    Previous
    Older Post
    Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

    No comments:

    Post a Comment

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    Tupate kupitia Facebook

    Popular Posts

    • MENGI USIYOYAJUA KUHUSU MNYAMA TWIGA.
      Alichoandika Moses Ngw'at kuhusu mnyama Twiga TWIGA ni miongoni mwa wanyama wenye mvuto mkubwa kutokana na uzuri na mambo kadhaa ...
    • Watanzania wahimizwa kujiunga na mtandao wa mitaji
      Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustine Kamuzora amewataka wafanyabiashara nchini kuhamasika kujiunga na mtandao wa ...
    • NAPE: Nitahakikisha Timu za Dodoma zinacheza Ligi Kuu.
      Na Raymond Mushumbusi WHUSM Dodoma. Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye amewahakikishia wapenzi wa M...

    Popular Posts

    • MENGI USIYOYAJUA KUHUSU MNYAMA TWIGA.
      MENGI USIYOYAJUA KUHUSU MNYAMA TWIGA.
      Alichoandika Moses Ngw'at kuhusu mnyama Twiga TWIGA ni miongoni mwa wanyama wenye mvuto mkubwa kutokana na uzuri na mambo kadhaa ...
    • Watanzania wahimizwa kujiunga na mtandao wa mitaji
      Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustine Kamuzora amewataka wafanyabiashara nchini kuhamasika kujiunga na mtandao wa ...
    • NAPE: Nitahakikisha Timu za Dodoma zinacheza Ligi Kuu.
      NAPE: Nitahakikisha Timu za Dodoma zinacheza Ligi Kuu.
      Na Raymond Mushumbusi WHUSM Dodoma. Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye amewahakikishia wapenzi wa M...
    • Bodi mpya ya MAMLAKA YA NGORONGORO YATANGAZWA
      Bodi mpya ya MAMLAKA YA NGORONGORO YATANGAZWA
        PROFESA JUMANNE MAGHEMBE JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII UTEUZI WA WAJUMBE WA B...
    • Shirika la TTCL lazinduwa ‘Fiber Connect Bundle’
      Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL Corporation, Bw. Waz...
    • Rais aingia katika wakati mgumu, vurugu zatawala Venezuela
      Watu wawili wameuawa katika mgomo na maandamano yanayofanyika nchini Venezuela ya kupinga mpango wa Rais Nicolas Maduro wa kuiandika ...

    Pages

    • Home
    • About Us
    • Contat Us
     
    Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
    Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger