TRA

TRA

Wednesday, September 6, 2017

JOSHUA KUONESHA TENA UMWAMBA JUKWAANI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
                 Bondia Anthony Joshua baada ya kumpiga kwa Knock Out bondia Wladimir Klitschko wa Ukraine katika uwanja wa Wembley usiku wa April 29 2017 katika round ya 11 pambano lenye round 12, anarudi tena ulingoni Oktoba 28, 2017 mwaka huu kucheza pambano lake la 20 dhidi ya bondia kutoka Bulgaria, Kubra Pulev.

           Anthony Joshua Anthony Joshua ambaye ni raia wa England mwenye asili ya Nigeria atapambana na Kubra mwenye umri wa miaka 36, kuelekea pambano hilo naomba nikuletee rekodi za mabondia wote wawili.

Kubra Pulev Anthony Joshua Umri: 27 Mapambano: 19 Ushindi KO : 19 Droo: 0 Kupoteza: 0 Round 55 Urefu: Futi 6 na inch 6 Kubra Pulev Umri: 36 Mapambano: 26 Ushindi : 25 KO: 13 Droo: 0 Kupoteza: 1 Round: 174 Urefu: Futi 6 na inch 4.5

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger