TRA

TRA

Friday, September 1, 2017

KAULI YA RIDHIWANI KIKWETE BAADA YA MATOKEO YA UCHAGUZI KENYA KUFUTWA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

               Moja kati ya stori ambazo zimewashitua wengi Ijumaa ya leo September 1 2017 ni kuhusiana na maamuzi ya Mahakama Kuu nchini Kenya kubatilisha matokeo ya uchaguzi Mkuu uliyofanyika August 8 2017 na Uhuru Kenyata kuibuka mshindi wa Urais dhidi ya Raila Odinga.

         Jaji Mkuu David Maraga ameagiza uchaguzi Mkuu mpya utafanyika ndani ya siku 60 kwa mujibu wa sheria na katiba na umebatilishwa kwa sababu IEBC hawakuwa wameandaa uchaguzi huru na haki. Kila mmoja amepokea uamuzi huo kitofauti, mbunge wa

Chalinze Ridhiwani Kikwete ameandika mtazamo wake kupitia ukurasa wake wa instagram “Niliwahi Sema najifunza jambo toka Kenya, Leo inathibitika wakati Mahakama inafungua kurasa Mpya ya Kumbukumbu ya Maamuzi.#KenyaDecides“

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger