TRA

TRA

Monday, September 11, 2017

Uchaguzi Norway unanukia

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Utabiri rasmi kuhusiana na uchaguzi wa bunge la Norway unaonyesha kuwa zinaelekea ukingoni huku vyama viwili vikichuana vikali , kati ya chama kikuu chenye mrengo wa kati kulia na kile cha mrengo wa kushoto.

 Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Norway Bi Erna Solberg kutoka katika chama cha Conservatives
Muungano wa kihafidhina wa Bi Erna Solberg unawania nafasi ya kurejea madarakani kwa kipindi cha pili.Endapo atafanikiwa atakuwa ni mwanamke wa kwanza kutoka chama cha mrengo wa kulia katika kipindi cha miongo mitatu iliyopita kuchaguliwa katika nafasi ya waziri mkuu.

Chama cha upinzani cha Labour kinaonekana kutetea nafasi yake ipasavyo kama chama kikuu katika bunge la nchi hiyo.

Kampeni za uchuzi huo mkuu zimelenga na kuzungumzia vilivyo suala la kodi, pamoja na kupunguzwa kwa ushuru kwa watunga sera ili kuongeza ukuaji wa uchumi, wakati chama cha Labour chenyewe kimejikita katika ahadi ya kuboresha huduma za umma.
Bi Solberg ametawala katika ushirika na chama cha kupambana na wahamiaji.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger