Maafisa wa DR Congo pamoja na wanajeshi wanadaiwa kuwafyatulia risasi wakimbizi hao walipokuwa wakifanya maandamano ya kupinga mpango wa kuwarudisha nyumbani.
Makumi la maelfu ya raia wa Burundi walitoroka taifa hilo wakati za wa ghasia za 2015 kufuatia hatua ya rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula mwengine wa tatu.
Baadhi ya wakimbizi wa Burundi
- Burundi yawapiga marufuku wachunguzi wa UN
- Burundi yakataa polisi wa UN
- Wakimbizi wa Burundi waanza kurejea kutoka Tanzania
CHANZO: BBC
SHARE
No comments:
Post a Comment