TRA

TRA

Friday, December 2, 2016

ULEGA AENDELEA NA ZIARA YA KUWASHUKURU WANANCHI JIMBONI KWAKE

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kibuyuni Kata Panzuo, alipokuwa katika ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumchagua, pia kusikiliza kero zao, hususani ile ya Mifugo kuharibu vyanzo vya maji pamoja na mazao yao.
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mkuruwili, alipokuwa katika ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumchagua, pia kusikiliza kero zao.
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Mbulali FC inayo shiriki kombe la Ulega.
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Nyatanga FC.





Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger