Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais –
Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (wa kwanza
kulia), akifuatilia taarifa ya utekelezaji ya Mkoa wa Shinyanga
iliyokuwa ikiwasilishwa na Katibu Tawala Msaidizi Rasilimali watu wa Mkoa
wa Shinyanga, Bw. Alfred Shayo (aliyesimama) ikiwa ni sehemu ya
Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2017. Wa kwanza kushoto ni
Mkurugenzi wa Sera, Ofisi ya Rais-Utumishi, Bw. Mathias Kabunduguru
Sehemu ya Watendaji na Watumishi
wa Mkoa wa Shinyanga wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais –
Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani)
alipokuwa akizungumza nao wakati wa kikao kazi na watumishi hao ikiwa ni
sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2017.
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais –
Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akisisitiza jambo
kwa Watendaji na watumishi wa Mkoa wa Shinyanga wakati wa kikao kazi na
watumishi hao ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa
Umma 2017. Kushoto kwake ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, Bw.
Albert Msovela na kulia ni Mkurugenzi wa Sera, Ofisi ya Rais-Utumishi,
Bw. Mathias Kabunduguru.
Katibu Msaidizi Tume ya Utumishi
wa Walimu Wilaya ya Kahama, Bw. Bashemela Seif, akitoa maoni wakati wa
kikao kazi cha Watendaji na Watumishi wa Sekretarieti ya Mkoa wa
Shinyanga na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa
Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) ikiwa ni sehemu ya
Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2017.
Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya
ya Kishapu, Bw. Stephen Magoiga, akiwasilisha hoja wakati wa kikao kazi
cha Watendaji na Watumishi wa Sekretarieti ya Mkoa wa Shinyanga na
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt.
Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki
ya Utumishi wa Umma 2017.
Afisa Tawala Mwandamizi kutoka
Ofisi ya Rais – Utumishi, Bw. Leonard Tumua, akifafanua jambo kwa
Watendaji na watumishi wa Mkoa wa Shinyanga wakati wa kikao kazi na
watumishi hao ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
2017. Wa kwanza Kushoto kwake ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi,
Dkt. Laurean Ndumbaro na katikati ni Mkurugenzi wa Sera, Ofisi ya
Rais-Utumishi, Bw. Mathias Kabunduguru.
Mkurugenzi wa Sera, Ofisi ya
Rais-Utumishi, Bw. Mathias Kabunduguru. akifafanua jambo kwa Watendaji
na watumishi wa Mkoa wa Shinyanga wakati wa kikao kazi na watumishi hao
ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2017. Kushoto
kwake ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro na
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Bw. Albert Msovela.
SHARE
No comments:
Post a Comment