TRA

TRA

Thursday, August 10, 2017

ANGOZA YAWATAMBULISHA WADAU WAKE MRADI WA KUKUZA USHIRIKI WA WANANCHI KATIKA MASUALA YA SERA NA SHERIA ZANZIBAR

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


01
Mwenyekiti wa Umoja wa Vikundi vya Hiyari Zanzibar (ANGOZA) Bi. Asha Aboud Mzee akielezea lengo la mradi wa kukuza ushiriki wa wananchi katika masuala ya sera na sheria hafla hiyo imefanyika Ofisi ya Umoja wa watu wenye  ulemavu Kikwajuni Mjini Zanzibar.
03
Mkurugenzi Mtendaji wa ANGOZA Hassan Khamis Juma akitoa maelezo kuhusu Mradi wa kukuza ushiriki wa wananchi katika masuala ya sera na sheria wakati wa kutambulishwa rasmi mradi huo
04
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Utambulisho wa Mradi wa kukuza ushiriki wa wananchi katika masuala ya sera na sheria wakifuatilia utambulisho huo katika Ofisi ya walemavu Kikwajuni.
05
Mjumbe wa mkutano wa utambulisho wa mradi huo kutoka Tume ya Mipango ya Wizara  Ramadhani Khamis akitoa mchango wake kwenye mkutano huo.
Picha na Makame Mshenga.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger