TRA

TRA

Wednesday, June 22, 2016

MV. MAGOGONI KUKAMILIKA AGOSTI MWAKA HUU

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


MAGO1
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Kulia), akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme Nchini (TEMESA) Eng. Le- Kujan Manase wakati alipokagua mradi wa ukarabati wa ujenzi wa vivuko vitatu jijini Dar es Salaam.
MAGO2
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano  Prof. Makame Mbarawa  (kulia) akitoa maelekezo kwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Eng. Le- Kujan Manase wakati alipokagua mradi wa ukarabati wa ujenzi wa vivuko vitatu  jijini Dar es Salaam.
MAGO3
Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Eng. Le- Kujan Manase akitoa maelezo ya moja ya kifaa kinachotumika kwenye kivuko cha MV Magogoni kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kulia Profesa Makame Mbarawa  wakati alipokagua mradi huo.
MAGO4
Muonekano wa Kivuko cha MV. Magogoni kikiwa kwenye hatua za mwisho za matengezo yanayofanywa na kampuni ya M/S Songoro Marine Transport Courtyard ya Mwanza na TEMESA Jijini Dar es salaam.
MAGO5
Mtaalam wa kampuni M/S Songoro Marine Transport Cortyard ya Mwanza (Wanne kushoto), akitoa maelezo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano  Profesa Makame Mbarawa alipokagua ukarabati na ujenzi wa Vivuko vya Old Magogoni, Pangani na New Magogoni.
MAGO6
Mafundi wa M/S Songoro Marine Transport Courtyard ya Mwanza na TEMESA wakiendelea na kazi ya ujenzi wa kivuko kipya  jijini Dar es salaam.(P.T)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger