
Rais wa
Rwanda Paul Kagame, (wapili kulia) akiwa na mwenyeji wake Rais John
Pombe Magufuli, (wakwanza kulia), akimkabidhi tuzo ya msindi wa kwanza
kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii na makampuni ya Bima, Mkurugenzi
Mkuu wa PPF, William Erio, wakati wa uzinduzi wa maonyesho ya 40 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mwalimu
Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 1, 2016. Wapili kushoto ni Waziri wa
Viwanda na Biashara, Charles Mwijage.

Meneja
Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele (wakwanza kulia)
akiungana na wafanyakazi enzake kusherehekea tuzo ambayo Mfuko umepata
wakati wa uzinduzi wa maonyesho hayo ya 40 ya Biashara ya Kimataifa ya
Dar es Salaam.

Afisa wa PPF anayeshughulikia huduma kwa Wanachama Mohammed Siaga,akionyesha tuzo hiyo

Wafanyakazi wa PPF wakishangilia ushindi huo mbele ya banda lao(P.T)
SHARE








No comments:
Post a Comment