Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akikata utepe kama ishara ya uzinduzi Ujenzi wa madarasa mapya ya
Maandalizi katika Skuli ya Gando Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba
akiwa katika ziara ya kufungua miradi mbali mbali ya Maendeleo,(kulia)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma. [Picha na Ikulu.] 06/11/2016.
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa madarasa mapya ya Maandalizi
katika Skuli ya Gando Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba akiwa
katika ziara ya kufungua miradi mbali mbali ya Maendeleo
Baadhi ya
wanafunzi wa Maandalizi wakiwa na Walimu wao katika sherehe ya Uzinduzi
wa madarasa mapya yaliyojengwa na Wananchi kwa msaada wa Tassaf,ambapo
yaliyozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika Skuli ya Gando Wilaya ya Wete Mkoa
wa Kaskazini Pemba,akiwa katika ziara ya kufungua miradi mbali mbali ya
Maendeleo,
Wananchi
wa Shehia za Gando wakiwa katika sherehe ya Uzinduzi wa madarasa mapya
yaliyojengwa na Wananchi kwa msaada wa Tassaf yaliyozinduliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein katika Skuli ya Gando Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba,
akiwa katika ziara ya kufungua miradi mbali mbali ya Maendeleo.
Wasoma
Utenzi Raya Rashid (kulia) na Fatma Hassan Mshindo wakitoa burudani ya
utenzi wao mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakati wa kusherehekea Uzinduzi wa
madarasa mapya ya Maandalizi yaliyojengwa na Wananchi kwa msaada wa
Tassaf katika Skuli ya Gando,Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Wananchi
waliohudhuria katika sherehe za uzinduzi wa madarasa mapya ya
Maandalizi yaliyojengwa na Wananchi kwa msaada wa Tassaf katika Skuli ya
Gando,Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakifuatilia na
kusikiliza nasaha mbali mbali zilizotolewa katika sherehe hiyo,
Wanafunzi
wa Maandalizi wakiimba wimbo maalum wa kumkaribisha Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein mara baada ya
kuyazindua madarasa yao katika Skuli ya Gando Wilaya yaWete Mkoa wa
Kaskazini Pemba,akiwa katika ziara ya kufungua miradi mbali mbali ya
Maendeleo Kisiwani Pemba.(P.T)
SHARE








No comments:
Post a Comment