TRA

TRA

Wednesday, May 24, 2017

Alichoandika Kigwangalla baada ya JPM kukabidhiwa Ripoti ya Makontena

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


May 24, 2017 Rais Magufuli amepokea ripoti ya Kamati ya Maalum iliyochunguza Mchanga wa Madini kwenye Makontena ambapo pamoja na mambo mengine yaliyogundulika JPM amemtaka Waziri mwenye dhamana kujitathmini.
Jambo hilo limegusa hisia za watu wengi mmoja akiwa ni Naibu Waziri wa Afya Dr. Hamisi Kigwangalla ambaye aliitumia account yake ya Twitter kuandika haya:
“Alichokifanya leo Rais Magufuli kwenye sekta ya madini ni jambo la kizalendo na kwa hakika litaleta mabadiliko, nilisema hivi tangu 2011.” – Kingwangala

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger