Tuzo hizi hutolewa kila mwaka Uingereza na kwa mara ya kwanza Washindi watazungumza na vijana wengine katika hafla itakayofanyika Arusha Tanzania August 2017.
Kwa Afrika mashariki Mwanahabari mchunguzi Yasin Kakande kutoka Uganda ameweza kuingia kwenye list hii kwa kufanikiwa kupata habari za kiuchunguzi zinazohusu uvunjifu wa haki za binadamu kwa Wafanyakazi wa kiafrika kwenye nchi za mashariki ya kati (Middle East).
Mwanabailojia aliyegundua tiba ya fangas kwenye mwili wa binadamu Mennat El Ghalid kutoka Egpt amefanikiwa kushinda tuzo hiyo kama kijana aliyeleta mapinduzi kwenye sekta ya tiba na afya pia mtaalam wa computer Abdighani Diriye kutoka Somalia na Mchekeshaji Carl Joshua Ncube kutoka Zimbabwe ni miongoni mwa waliopata tuzo hizo.
Mwanasayansi Mennat El Ghalid kutoka Egypt
Mwanaharakati wa maji safi na salama Saran Kaba Jones kutoka Liberia

Mwanasheria na mwanamitindo Wale Oyejide kutoka Nigeria

Mwanaharakati wa makosa ya kivita Adong Judith kutoka Uganda

Mwanahabari mchunguzi Yasin Kakande kutoka Uganda

Mwanaharakati wa haki za wapenzi wa jinsia moja (LGBT) Katlego Kolanye kutoka Botswana

Mwanamuziki wa Regge Kasiva Mutua kutoka Kenya

Comedian Carl Joshua Ncube kutoka Zimbabwe

Mtaalamu wa Computer Abdighani Diriye kutoka Somalia

Mwalimu Robert Hakiza kutoka Congo
CHANZO: Millardayo
SHARE








No comments:
Post a Comment