TRA

TRA

Thursday, May 25, 2017

Marco Silva ajiuzulu umeneja Hull City

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Marco Silva
Marco Silva meneja wa Hull City amejiuzulu kuendelea kuinoa timu hiyo iliyoshuka daraja kutoka ligi kuu ya nchini England.

Silva mwenye miaka 30 raia wa Ureno alichukua mikoba ya timu hiyo toka kwa Mike Phelan mwezi Januari na jukumu lake lilikuwa ni kuisaidia timu hiyo isishuke daraja.

Meneja huyo wa zamani wa Sporting Lisbon na Olympiakos anahusishwa na mpango wa kwenda kujiunga na timu ya Watford ambayo imemtimua mkufunzi wake wa kiitaliano Walter Mazzarri.

Mbali na Silva makocha wengine pia wamejiondoa kwenye timu hiyo ambao ni kocha msaidizi Joao Pedro Sousa,kocha wa kikosi cha kwanza Goncalo Pedro pamoja na kocha wa makipa Hugo Oliveira

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger