TRA

TRA

Thursday, May 25, 2017

Monaco yamsajili mchezaji kinda wa mwaka nchini Ubelgiji Youri Tielemans

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Monaco imemsajili mchezaji bora kinda wa mwaka nchini Ubelgiji, Youri Tielemans kutoka klabu ya Anderlecht kwa pauni milioni 21.63.

Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 20, aliridhia mkataba wa miaka mitano na mabingwa hao wa nchini Ufaransa.

 Youri aliisaidia Anderlecht kufikia hatua ya robo fainali michuano ya Europa

Alifunga magoli 13 kwenye michuano magoli 13 msimu uliopita na kuifanya Anderlecht kutwaa ubingwa.

Monaco ni klabu yenye malengo, inayotambulika kwenye michuano ya Ulaya na mara nyingi hutumia wachezaji chipukizi.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger