• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Sunday, June 4, 2017

Home > > Nchi 4 zakata uhusiano wao na Qatar kwa kuunga mkono Ugaidi

Nchi 4 zakata uhusiano wao na Qatar kwa kuunga mkono Ugaidi

at 10:29 PM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


    Saudi Arabia, Misri, Bahrain na milki ya nchi za kiarabu wamekata uhusiano wao wa kidiplomasia na Qatar wakiilamaua wa kuvurufa ene hilo.
    Nchi hizo zimeilaumu Qatar kwa kuunga mkono ugaidi likiwemo kunduoi la Muslim Brotherhood.

    Shirika moja nchini Saudi Arabia linasema kwa limefunga mipaka yake na kusitisha usafiri wa ardhini, baharini na angani.
    Lilinukuu maafisa wakisema kuwa hatua hiyo ni ya kulinda usalama wa nchi kutokana na hatari za ugaidi na itikadi kali.

                    Mji mkuu wa Qatar, Doha
    • Bei ya mafuta duniani yaanza kupanda
    Misri nayo imefunga anga zake na bandari kwa Qatar, kwa mujibu wa wizara ya mashauri ya nchi kigeni.,
    Milki ya nchi za kiarabu imewapa wanadiplomasia wa Qatar saa 48 kuondoka nchini humo.

    Abu Dhabi inaishutumu Qatar kwa kufadhili ugaidi na itikadi kali.
    Shirila la taifa la habari nchini Bahrain nalo limesema kuwa nchi hiyo inataka uhusiano na Qatar kwa kuvuruga usalama wake na kuingilia ndani masuala yake ya ndani.
    Unknown

    Author: Unknown

    SHARE
    • Share
    • Tweet
    • Share
    • Pin
    • Share
    «
    Next
    Newer Post
    »
    Previous
    Older Post
    Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

    No comments:

    Post a Comment

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    Tupate kupitia Facebook

    Popular Posts

    • Dk. Kigwangalla apiga tafu ujenzi wa jengo la Makao makuu ya CCM Mkoa wa Songwe
        Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashahuri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mh. Dk. Hami...
    • Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
      Mahakama nchini Brazil imemuhukumu gavana wa zamani wa jimbo la Rio de Janeiro, Sergio Cabral  miaka 14 gerezani kwa kuhusika katika r...
    • Daktari wa kuongeza maumbile auawa, Brazil
        ...

    Popular Posts

    • Dk. Kigwangalla apiga tafu ujenzi wa jengo la Makao makuu ya CCM Mkoa wa Songwe
        Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashahuri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mh. Dk. Hami...
    • Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
      Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
      Mahakama nchini Brazil imemuhukumu gavana wa zamani wa jimbo la Rio de Janeiro, Sergio Cabral  miaka 14 gerezani kwa kuhusika katika r...
    • Daktari wa kuongeza maumbile auawa, Brazil
      Daktari wa kuongeza maumbile auawa, Brazil
        ...
    • SHONZA: Umiliki wa Viwanja vya Michezo nchini umezingatia Sheria
      Na Lorietha Laurence-Dodoma Serikali imeeleza kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kama zilivyo taasisi nyingine kime...
    • Kundi la Islamic State lasema lilihusika na shambulio London
      Kundi la Islamic State lasema lilihusika na shambulio London
      ...
    • Trump ajitetea kwa tamko lake kuhusu Sweden
      Rais wa Marekani Donald Trump amejaribu kujitetea na kufafanua ni kwa nini alirejelea kisa cha ukosefu wa usalama nchini Sweden alichos...

    Pages

    • Home
    • About Us
    • Contat Us
     
    Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
    Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger