• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Sunday, June 4, 2017

Home > > Kundi la Islamic State lasema lilihusika na shambulio London

Kundi la Islamic State lasema lilihusika na shambulio London

at 10:27 PM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


 
Polisi nchini Uingereza wamekuwa wakifanya msako kwenye makazi manne mjini London hadi usiku wa manane kama sehemu ya uchunguzi juu ya shambulio la Jumamosi ambapo watu saba waliuawa na wengine wapatao hamsini walijeruhiwa. 

Wachunguzi wanajaribu kubaini ikiwa wanaume watatu walioendesha basi lao dogo na kuwagonga wapita njia kabla ya kuwachoma visu wengine wengi walipata msaada wowote.
  • Polisi wakamata watu 12 kufuatia shambulizi la London
Watu kumi na mmoja wanashikiliwa kufuatia uvamizi wa polisi mashariki mwa London.


             Polisi wa kupambana ugaidi London 

Kundi la Islamic State limesema lilihusika na shambulio hilo.
Mwanamke mmoja raia wa Canada aliyeuawa katika shambulio la London ametajwa katika vyombo vya habari.
  • Mshukiwa wa shambulio la Manchester atajwa
Taarifa ya familia yake imesema kuwa alikuwa akifanya kazi katika hifadhi ya wasio kuwa na makazi kabla ya kuhamia Ulaya kuishi na mchumba wake.
Watu 21 waliojeruhiwa katika shambulio hilo wako katika hali mahututi.
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • Dk. Kigwangalla apiga tafu ujenzi wa jengo la Makao makuu ya CCM Mkoa wa Songwe
      Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashahuri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mh. Dk. Hami...
  • Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
    Mahakama nchini Brazil imemuhukumu gavana wa zamani wa jimbo la Rio de Janeiro, Sergio Cabral  miaka 14 gerezani kwa kuhusika katika r...
  • Daktari wa kuongeza maumbile auawa, Brazil
      ...

Popular Posts

  • Dk. Kigwangalla apiga tafu ujenzi wa jengo la Makao makuu ya CCM Mkoa wa Songwe
      Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashahuri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mh. Dk. Hami...
  • Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
    Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil
    Mahakama nchini Brazil imemuhukumu gavana wa zamani wa jimbo la Rio de Janeiro, Sergio Cabral  miaka 14 gerezani kwa kuhusika katika r...
  • Daktari wa kuongeza maumbile auawa, Brazil
    Daktari wa kuongeza maumbile auawa, Brazil
      ...
  • SHONZA: Umiliki wa Viwanja vya Michezo nchini umezingatia Sheria
    Na Lorietha Laurence-Dodoma Serikali imeeleza kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kama zilivyo taasisi nyingine kime...
  • Kundi la Islamic State lasema lilihusika na shambulio London
    Kundi la Islamic State lasema lilihusika na shambulio London
    ...
  • Trump ajitetea kwa tamko lake kuhusu Sweden
    Rais wa Marekani Donald Trump amejaribu kujitetea na kufafanua ni kwa nini alirejelea kisa cha ukosefu wa usalama nchini Sweden alichos...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger