Panama imekata uhusiano wake wa muda mrefu na Taiwan na badala yake imeboresha uhusiano na China.
Mawaziri wa Panama na Taiwan
Serikali mjini Taipei, mji mkuu wa Taiwan, imesema imekasirishwa na hatua hiyo ya Panama kujenga uhusiano na Beijing, lakini ikasema haitashindana na China katika kile ilichokitaja kuwa mchezo wa pesa katika diplomasia.
CHANZO: BBC
SHARE









No comments:
Post a Comment