• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Home > > Besiktas yamnasa kisiki Pepe

Besiktas yamnasa kisiki Pepe

at 5:19 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 
 
Klabu ya Besiktas ya Uturuki imefanikiwa kumsajili bure beki kisiki wa timu ya taifa ya Ureno, Képler Laveran Lima Ferreira, maarufu kama Pepe.

Pepe amesaini mkataba wa miaka wa mitatu kuweza kuwatumikia miamba hao wa ligi ya Uturuki.
 Pepe alitajwa mchezaji bora katika fainali za Euro 2016 

Mchezaji huyu aliachwa na klabu yake ya Real Madrid baada ya kumalizika kwa mkataba wake mwishoni mwa msimu uliopita. 

Uhamisho huu wa mlinzi huyu unahitimisha miaka kumi ya kuitumikia Real Madrid ambapo alikua ni moja kati ya wachezaji muhimu wa kikosi cha kwanza wa timu hiyo.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • NAPE: Nitahakikisha Timu za Dodoma zinacheza Ligi Kuu.
    Na Raymond Mushumbusi WHUSM Dodoma. Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye amewahakikishia wapenzi wa M...
  • Watanzania wahimizwa kujiunga na mtandao wa mitaji
    Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustine Kamuzora amewataka wafanyabiashara nchini kuhamasika kujiunga na mtandao wa ...
  • Bodi mpya ya MAMLAKA YA NGORONGORO YATANGAZWA
      PROFESA JUMANNE MAGHEMBE JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII UTEUZI WA WAJUMBE WA B...

Popular Posts

  • NAPE: Nitahakikisha Timu za Dodoma zinacheza Ligi Kuu.
    NAPE: Nitahakikisha Timu za Dodoma zinacheza Ligi Kuu.
    Na Raymond Mushumbusi WHUSM Dodoma. Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye amewahakikishia wapenzi wa M...
  • Watanzania wahimizwa kujiunga na mtandao wa mitaji
    Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustine Kamuzora amewataka wafanyabiashara nchini kuhamasika kujiunga na mtandao wa ...
  • Bodi mpya ya MAMLAKA YA NGORONGORO YATANGAZWA
    Bodi mpya ya MAMLAKA YA NGORONGORO YATANGAZWA
      PROFESA JUMANNE MAGHEMBE JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII UTEUZI WA WAJUMBE WA B...
  • Rais aingia katika wakati mgumu, vurugu zatawala Venezuela
    Watu wawili wameuawa katika mgomo na maandamano yanayofanyika nchini Venezuela ya kupinga mpango wa Rais Nicolas Maduro wa kuiandika ...
  • MENGI USIYOYAJUA KUHUSU MNYAMA TWIGA.
    MENGI USIYOYAJUA KUHUSU MNYAMA TWIGA.
    Alichoandika Moses Ngw'at kuhusu mnyama Twiga TWIGA ni miongoni mwa wanyama wenye mvuto mkubwa kutokana na uzuri na mambo kadhaa ...
  • ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
    ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
      Na Jumbe Ismailly -HANANG .  ALIYEKUWA diwani wa kata ya Gihandu,wilayani Hanang,Mkoani Manyara kwa tiketi ya Chama c...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger