TRA

TRA

Saturday, July 22, 2017

KWELI SUGU HANA MCHEZO. HEBU ANGALIA HII HOTELI YAKE ILIYOPO MBEYA. EEE BWANAEEE!

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
  Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi maarufu kama ‘Sugu’ alianza kuijenga hoteli yake toka mwaka 2016 na sasa imekamilika na very soon kama uko Mbeya ama ukienda utakua miongoni mwa Wateja wapyawapya kabisa.
Huu ni mchoro wa computer ambao ulionyesha muonekano wa hoteli yenyewe ujenzi ukikamilika

Father Mallya (Mwenye suti ya blue kwa mbele), Padri kutoka Parokia ya Ruanda Mbeya akinyunyiza Maji ya baraka kuzunguka maeneo ya Hotel Desderia wakati wa Ibada fupi ya binafsi













Chanzo: Millardayo


Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger