• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Saturday, July 22, 2017

Home > > Pamekucha Kombe la Mataifa Bingwa Afrika

Pamekucha Kombe la Mataifa Bingwa Afrika

at 2:16 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

  •  
Kombe la mataifa bingwa Afrika 2019 litafanyika mwezi Juni na Julai shirikisho la soka barani Afrika limethibitisha.

Mchuano huo huwa unafanyika mnamo mwezi Januari na Februari na kusababisha migogoro na vilabu vya Ulaya ambavyo hulazimika kuwatoa wachezaji katikati ya msimu.



Kombe la mataifa bingwa Afrika 2019 litafanyika mwezi Juni na Julai shirikisho la soka barani Afrika limethibitisha

Kinyang'anyiro hicho cha 2019 kitakachoandaliwa Cameroon kitashirikisha timu 24 badala ya 16.

Mabadiliko hayo yalitiwa sahihi na kamati kuu ya CAF katika mkutano uliofanyika mji mkuu wa Rabat. Michuano hiyo imekuwa ikishirikisha timu 16 tangu 1996.

Upanuzi wa mechi hizo unaweza kusababisha matatizo kwa Cameroon ambayo itaanda fainali ijayo, huku waziri wa michezo wa taifa hilo la Afrika ya kati akilazimika kukataa ripoti kwamba maandalizi yalikuwa nyuma.

Mashindano hayo yataendelea kila baada ya miaka miwili barani Afrika. CAF ilikuwa inapanga iwapo itaruhusu mataifa kutoka mabara mengine kushiriki ama hata kuandaa mchuano huo.

Tangazo hilo linajiri kufuatia mkutano wa siku mbili ulioandaliwa na rais wa Caf Ahmad kuzungumzia hali ya soka barani Afrika.
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • Vyuo vikuu bora zaidi duniani mwaka 2017
    ...
  • RIPOTI: HOTELI ZA NYOTA MBILI NA TATU HUPENDELEWA ZAIDI NA WATEJA
    Na Jumia Travel Tanzania Je ushawahi kupanga kwamba unataka kwenda kulala kwenye hoteli ya nyota ngapi? Ni vigezo gani ambavyo huwa unavit...
  • Yai kwa siku inaonekana kusaidia watoto wadogo kuongeza kimo
    Kula yai kwa siku kunaweza kuwasaidia watoto wadogo wenye utapiamlo kuongeza urefu kulingana na utafiti wa miezi sita huko Ecuador. ...

Popular Posts

  • Vyuo vikuu bora zaidi duniani mwaka 2017
    Vyuo vikuu bora zaidi duniani mwaka 2017
    ...
  • RIPOTI: HOTELI ZA NYOTA MBILI NA TATU HUPENDELEWA ZAIDI NA WATEJA
    RIPOTI: HOTELI ZA NYOTA MBILI NA TATU HUPENDELEWA ZAIDI NA WATEJA
    Na Jumia Travel Tanzania Je ushawahi kupanga kwamba unataka kwenda kulala kwenye hoteli ya nyota ngapi? Ni vigezo gani ambavyo huwa unavit...
  • Yai kwa siku inaonekana kusaidia watoto wadogo kuongeza kimo
    Yai kwa siku inaonekana kusaidia watoto wadogo kuongeza kimo
    Kula yai kwa siku kunaweza kuwasaidia watoto wadogo wenye utapiamlo kuongeza urefu kulingana na utafiti wa miezi sita huko Ecuador. ...
  • WAKANDARASI NCHINI WAKABILIWA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI
    WAKANDARASI NCHINI WAKABILIWA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI
      Picha ikimuonyesha Mkandarasi kutoka Kampuni ya Caberisa Co.Ltd Bernad Mgohamwende ambaye anajenga barabara kw...
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
    Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria ya Baraza la Taifa la Elimu y...
  • KWELI WANANCHI WANA SHIDA NYINGI, WAFURIKA OFISI YA RC MAKONDA KUDAI HAKI
    KWELI WANANCHI WANA SHIDA NYINGI, WAFURIKA OFISI YA RC MAKONDA KUDAI HAKI
        ZAIDI ya Wananchi 3,000 kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam, Januari 29, 2018 wamefika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger