• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Monday, July 17, 2017

Home > > Nyani azima umeme kwa karibu saa 6 nchini Zambia

Nyani azima umeme kwa karibu saa 6 nchini Zambia

at 3:14 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

    Nyani alivuruga mitambo ya umeme katika mji wa Livingstone nchini Zambia na kukata umeme kwa karibu watu 50,000.

    Nyani huyo alifanikiwa kuingia katika kituo cha umeme siku ya Jumapili, na kuvuruga mitambo yenye umeme inayosambaza umeme kuenda maeneo ya Kusini na magharibi mwa Zambia kwa mujibu wa kampuni ya umeme nchini humo Zesco.


        Nyani

    Nyani azima umeme kwa karibu saa 6 nchini Zamabia Nyani azima umeme kwa karibu saa 6 nchini Zamabia


    Ukosefu wa umeme waikumba Kenya
    Alisema kuwa wakaazi 28,000 wa Livingstone na watu wengine 22,000 wa eneo hilo walibaki kabisa bila umeme kwa zaidi ya saa sita wakati ukarabati ulikuw ukiendelea.

    "Nyani huyo alipigwa na umeme lakini kutokana na maumbile yake ya kimazingira alipata tu majeraha mabaya ya moto. Kama angekuwa binadamu angekufa." alisema Kapata.

    Kapata alisema kuwa kampuni hiyo imeomba msamaha wateja wake kwa hasara waliyoipata.

    Mji wa Livingstone ni maarugu kwa wanyama pori kama nyani na ndovu wanaotoka mbuga iliyo karibu.
    Unknown

    Author: Unknown

    SHARE
    • Share
    • Tweet
    • Share
    • Pin
    • Share
    «
    Next
    Newer Post
    »
    Previous
    Older Post
    Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

    No comments:

    Post a Comment

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    Tupate kupitia Facebook

    Popular Posts

    • KWELI WANANCHI WANA SHIDA NYINGI, WAFURIKA OFISI YA RC MAKONDA KUDAI HAKI
          ZAIDI ya Wananchi 3,000 kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam, Januari 29, 2018 wamefika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar...
    • Mhenga alisema, ukitaka kula lazima ukubali kuliwa
      Said Mwishehe JUMAPILI ya leo naomba kabla ya kwenda mbali zaidi nitumie nafasi hii kutoa salamu zangu za dhati kwa wahenga. Shikamoni wahen...
    • SINGIDA UNITED YAIBOMOA KAIZER CHIEF, YAMTWAA MSHAMBULIAJI HATARI KUTOKA ZIMBABWE
      Mkurugenzi Mtendaji wa timu ya Singida United Festo Sanga  (kushoto) na  Mkurugenzi Mkuu  wa kampuni ya YARA Alexander Macedo wakibad...

    Popular Posts

    • KWELI WANANCHI WANA SHIDA NYINGI, WAFURIKA OFISI YA RC MAKONDA KUDAI HAKI
      KWELI WANANCHI WANA SHIDA NYINGI, WAFURIKA OFISI YA RC MAKONDA KUDAI HAKI
          ZAIDI ya Wananchi 3,000 kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam, Januari 29, 2018 wamefika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar...
    • Mhenga alisema, ukitaka kula lazima ukubali kuliwa
      Said Mwishehe JUMAPILI ya leo naomba kabla ya kwenda mbali zaidi nitumie nafasi hii kutoa salamu zangu za dhati kwa wahenga. Shikamoni wahen...
    • SINGIDA UNITED YAIBOMOA KAIZER CHIEF, YAMTWAA MSHAMBULIAJI HATARI KUTOKA ZIMBABWE
      SINGIDA UNITED YAIBOMOA KAIZER CHIEF, YAMTWAA MSHAMBULIAJI HATARI KUTOKA ZIMBABWE
      Mkurugenzi Mtendaji wa timu ya Singida United Festo Sanga  (kushoto) na  Mkurugenzi Mkuu  wa kampuni ya YARA Alexander Macedo wakibad...
    • WADAU WAKUTANA KUJADILI MFUKO WA KUENDELEZA UBUNIFU VIJIJINI
      Mratibu wa Uanzishwaji wa Mfuko wa Ubunifu Vijijini, Bw. Albert Ngusaru akizungumza kabla ya ufunguzi wa mkutano wa...
    • WANAFUNZI 106 SHULE YA MILAMBO TABORA WAKAMATWA
      WANAFUNZI 106 SHULE YA MILAMBO TABORA WAKAMATWA
        Jeshi la Polisi mkoani Tabora linawashikilia wanafunzi 106 wa shule ya Sekondari ya Milambo kwa madai ya kufanya vur...
    • SBL yazindua bomba la 470m/- kudhibiti majitaka
      SBL yazindua bomba la 470m/- kudhibiti majitaka
      Naibu Waziri ofisi ya Makamu wa Raisi Mazingira Mheshimiwa Luhaga Mpina (katikati) akiongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni y...

    Pages

    • Home
    • About Us
    • Contat Us
     
    Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
    Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger