• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Friday, August 25, 2017

Home > > Balozi wa Urusi nchini Sudan afariki akiogelea

Balozi wa Urusi nchini Sudan afariki akiogelea

at 12:26 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Balozi wa Urusi nchini Sudan amepatikana amefariki katika kidimbwi cha kuogelea nyumbani kwake huko Khartoum.

Maafisa wa polisi wa Sudan wanasema kuwa uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa bwana Mirgayas Shirinsky alifariki kutokana na sababu za kimaumbile.

Ijapokuwa kifo chake hakijawekewa shauku yoyote, bwana Shirinsky ni mwanadiplomasia wanne kutoka Urusi kufariki katika afisi katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

Mnamo mwezi Februari, balozi wa Urusi katika Umoja wa Mataifa Vitaly Churkin alifariki kwa ghafla katika afisi yake mjini New York.

Mwezi mmoja kabla, balozi wa Urusi nchini Uturuki Andrei Karlov alipigwa risasi mjini Ankara na afisa wa polisi wa Uturuki aliyekuwa akipinga hatua ya Urusi kuingia nchini Syria.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • U.S. EMBASSY GRADUATES ENGLISH LANGUAGE PROGRAM IN DAR ES SALAAM
    On Thursday, September 14: U.S. Embassy Public Affairs Officer  Brinille Ellis presents a certificate to one of the...
  • Naibu Waziri Mh. Chumu Kombo Khamis awataka vijana kuanzisha vikundi vya ujasiriamali
    Na...
  • NCHI ZA AFRIKA ZATAKIWA KUWEKEZA KATIKA KILIMO
      Meneja wa Jukwaa la Bioteknolojia Afrika (OFAB), Daniel Otunge, akizungumza  wakati akitoa mada kwenye semina ya siku tatu ili...

Popular Posts

  • U.S. EMBASSY GRADUATES ENGLISH LANGUAGE PROGRAM IN DAR ES SALAAM
    On Thursday, September 14: U.S. Embassy Public Affairs Officer  Brinille Ellis presents a certificate to one of the...
  • Naibu Waziri Mh. Chumu Kombo Khamis awataka vijana kuanzisha vikundi vya ujasiriamali
    Na...
  • NCHI ZA AFRIKA ZATAKIWA KUWEKEZA KATIKA KILIMO
    NCHI ZA AFRIKA ZATAKIWA KUWEKEZA KATIKA KILIMO
      Meneja wa Jukwaa la Bioteknolojia Afrika (OFAB), Daniel Otunge, akizungumza  wakati akitoa mada kwenye semina ya siku tatu ili...
  • NJOONI RUKWA CHAKULA "BWERERE"; RC ZELOTE STEVEN
    NJOONI RUKWA CHAKULA "BWERERE"; RC ZELOTE STEVEN
    NA MWANDISHI WETU, RUKWA Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamishna wa Polisi (mstaafu) Zelote Stephen ameialika mikoa yote nchini yenye upu...
  • Jeshi la Iraq lasherehekea ushindi Mosul
    Wanajeshi wa Iraq wanapambana kuikomboa sehemu iliyobaki mjini Mosul ambako wanamgambo wa kundi linalojiita Dola la Kiislamu – IS wan...
  • WAZIRI MKUU AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MHE. SITTA
    WAZIRI MKUU AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MHE. SITTA
    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameongoza mamia ya wabunge, viongozi wa kitaifa na watumishi wa Ofisi ya Bunge kuuaga mwili wa Spika Ms...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger