Siku
moja baada ya team WCB ikiongozwa na Diamond Platnumz kuachia video ya
wimbo wao wa kundi ‘Zilipenda’ kisha kuibua maswali kwa baadhi ya
mashabiki kutokana na maudhui ya wimbo huo kwa kuwataja baadhi ya mastaa
wa zamani, mmoja wa aliyetajwa ambaye ni Afande Sele kafunguka.
Kupitia
Instagram yake, Afande Sele aliandika ujumbe ambao unaashiria
kutokasirika wala kuchukizwa na kitendo cha kutajwa kwenye ‘ZILIPENDWA’
na kuonesha kufurahia jambo hilo mbali na wengine huku akiwaambia
walioupokea vibaya msiba hauwahusu.
Afande Sele aliandika Sana
mdogo wangu nyakati zinabadilika Huu muda wa akina Damian sio nyakati
za Burning Spear au Bob Marley , ndio maana nikawa Muhenga, wamuache
Dogo afanye kazi
zake #safiplatnumdiamond @Regrann from @rhymesselassie – Simba wa
Morogoro nae zilipendwa .Simba wa madale/tandale kanichekesha. Safi this
is music , #burudani, utani kwa mhenga. Nawashangaa linaowatoka povu
wakati msiba hauwahusu.
SHARE








No comments:
Post a Comment