Mgeni
rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan ( wa pili kushoto) akiwa
katika picha ya pamoja na viongozi wa Serikali na Viongozi waandamizi wa
benki ya CRDB ,mara baada ya kuzindua Jukwaa la kuwawezesha wanawake
kiuchumi lililokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za
kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya
Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar.
Mgeni
rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan ( wa pili kulia) akiwa
pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali na Viongozi waandamizi wa benki
ya CRDB ,akizindua mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa
SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo
jijini Dar.
Mgeni
rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya
wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani) kwenye hafla fupi ya
kuzindua Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi lililokwenda sambamba
na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa
SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo
jijini Dar.
Mgeni
rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria
uzinduzi rasmi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi sambamba na
uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa
SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo
jijini Dar.
Picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi
Mkurugenzi
Mtendaji wa benki ya CRDB,Dkt Charles kimei akizungumza na kumshukuru
Mgeni rasmi ,Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan,viongozi mbalimbali wa
serikali na wageni waalikwa kwa ujumla,katika suala zima la kufanikisha
uzinduzi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi uliokwendaa sambamba
na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa
SimAccount,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama jijini Dar.
Mgeni
rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akisalimia na Mkurugenzi
Mtendaji wa benki ya CRDB,Dkt Charles kimei alipokuwa akiwasili katika
viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo kwenye hafla fupi ya kuzindua
jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi inayokwenda sambamba na
uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa
SimAccount.
Mgeni rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akisalimia na Naibu
Spika Mhe.Dkt Tulia Ackson alipokuwa akiwasili katika viwanja vya
Posta-Kijitonyama mapema leo kwenye hafla fupi ya kuzindua jukwaa la
kuwawezesha wanawake kiuchumi inayokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo
mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount.
Mgeni
rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akisalimia na Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Crdb, Ally Laay alipokuwa akiwasili
katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo kuzindua jukwaa la
kuwawezesha wanawake kiuchumi,Hafla hiyo inaenda sambamba na uzinduzi wa
mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount.
Baadhi ya akina mama wakiserebuka kwa pamoja kwenye hafla fupi ya
uzinduzi wa jukwaa la kuwawezesha Wanawake kiuchumi, linalozinduliwa na
Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan,katika viwanja vya
Posta-Kijitonyama mapema leo jijin dar,Hafla hiyo inakwenda sambamba na
uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa
SimAccount
Mgeni
rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akipitia hotuba yake kabla
ya kuisoma mbele ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika katika viwanja
vya Posta-Kijitonyama mapema leo kushuhudia hafla fupi ya uzinduzi wa
Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi inayokwendaa sambamba na
uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa
SimAccount.Pichani kulia ni Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira
na Walemavu Waziri Jenista Mhagama na kushoto ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa
Dar Es Salaam na Mwenyekiti wa jukwaa la Wanawake mkoa wa Dar,Mh Sophia
Mjema pamoja na Naibu Spika wa Bunge Mhe.Dkt Tulia Ackson
Waziri
wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Waziri Jenista Mhagama
akimueleza jambo Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB,Dkt Charles kimei
kabla ya uzinduzi wa wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi
inayokwendaa sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa
njia ya simu wa SimAccount,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama jijini
Dar
Sehemu
ya Meza kuu ikifuatilia mambo mbalimbali yaliyokuwa yakijiri kwenye
uzinduzi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi inayokwenda
sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu
wa SimAccount,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama jijini Dar.
Baadhi ya akina mama wakiserebuka kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi iliokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount, linalozinduliwa na Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama jijin dar.
SHARE






















No comments:
Post a Comment