TRA

TRA

Saturday, August 26, 2017

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AZZINDUA JUKWAA LA KUWAWEZESHA WANAWAKE

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 

  Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan ( wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Serikali na Viongozi waandamizi wa benki ya CRDB ,mara baada ya kuzindua  Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi lililokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar. 
  Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan ( wa pili kulia) akiwa pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali na Viongozi waandamizi wa benki ya CRDB ,akizindua mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar.  
  Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan  akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani) kwenye hafla fupi ya kuzindua  Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi lililokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar. 
  Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar. 
 Picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB,Dkt Charles kimei akizungumza na kumshukuru Mgeni rasmi ,Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan,viongozi mbalimbali wa serikali na wageni waalikwa kwa ujumla,katika suala zima la kufanikisha uzinduzi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi uliokwendaa sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama jijini Dar.
 Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akisalimia na Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB,Dkt Charles kimei alipokuwa akiwasili katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo kwenye hafla fupi ya kuzindua  jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi inayokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount. 
  Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akisalimia na Naibu Spika Mhe.Dkt Tulia Ackson alipokuwa akiwasili katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo kwenye hafla fupi ya kuzindua  jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi inayokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount.
 Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akisalimia na  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Crdb, Ally Laay  alipokuwa akiwasili katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo kuzindua  jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi,Hafla hiyo inaenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount.
  Baadhi ya akina mama wakiserebuka kwa pamoja kwenye hafla fupi ya  uzinduzi wa jukwaa la kuwawezesha Wanawake kiuchumi, linalozinduliwa na Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijin dar,Hafla hiyo inakwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount
 Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akipitia hotuba yake kabla ya kuisoma mbele ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo kushuhudia hafla fupi ya uzinduzi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi inayokwendaa sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount.Pichani kulia ni  Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Waziri Jenista Mhagama na kushoto ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam na Mwenyekiti wa jukwaa la Wanawake mkoa wa Dar,Mh Sophia Mjema pamoja na Naibu Spika wa Bunge Mhe.Dkt Tulia Ackson
 Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Waziri Jenista Mhagama akimueleza jambo Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB,Dkt Charles kimei kabla ya uzinduzi wa  wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi inayokwendaa sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama jijini Dar
Sehemu ya Meza kuu ikifuatilia mambo mbalimbali yaliyokuwa yakijiri kwenye uzinduzi wa  Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi inayokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama jijini Dar.
 Baadhi ya akina mama wakiserebuka kwenye hafla fupi ya  uzinduzi wa jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi iliokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount, linalozinduliwa na Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama jijin dar.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger