Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa (kushoto) akikabidhi Jarida lakutangaza Utalii wa
Tanzania kwa kiongozi wamaswala ya Utalii katika Mkoa wa Matanzas .Bwana
Luis Marines Agosti 23/2017 wakati alipokuwa katika Ziara
yakikazi kwenye Mji wa Varadero Mkoa wa Matanzas nchini Cuba katikati
katika picha ni Mama Mary Majaliwa
Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa (mwenye miwani)na Mama Mary Majaliwa (kulia) .pamoja na
Ujumbe wa Serekali ya Tanzania wakipata maelezo Agosti
23/2017kutoka kwa Kiongozi wa Utalii katika Mkoa wa Matanzas ,Bwana Luis
Martines. jinsi fukwe za Bahari zinavyo tunzwa nakuwa kivutio kwa
Watalii wanao tembelea Mji wa Varadero Mkoa wa Matanzas nchini Cuba
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
(mwenye shati jeupe) na Mama Mary Majaliwa (kushoto) pamoja na ujumbe wa
serikali ya Tanzania Agosti 23/2017 wakipata maelezo kutoka kwa
muongoza wa Talii Bibi Yanseli Marrero kuhusu biashara ya Boti za
Utalii kwenye fukwe za Bahari katika Mji wa Varadero Mkoa wa Matanzas
Nchini Cuba
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
SHARE








No comments:
Post a Comment