TRA

TRA

Monday, January 8, 2018

Meli inayoteketea baharini katika hatari ya kulipuka na kuzama

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Kuna hofu kubwa ya kutokea janga la kimazingira Kusini mwa bahari ya China wakati meli ya kubeba mafuta inazidi kufuja siki mbili baada ya kugongana na meli nyingine ya mizigo. 

Maafisa nchini China wamevyambia vyombo vuya habari kuwa meli hiyo iko kweney hatari ya kulipuka na kuzama.
Wakoaji wanaojaribu kufika eneo hilo wanazuiwa na moshi mkubwa.

Wahuhudumu 30 raia wa Irana na 2 wa Bangladesh bado hawajulikani waliko licha ya jitihada za kimataifa kuwaokoa.
 Meli inayoteketea baharini katika hatari ya kulipuka na kuzama
Kiwangi cha uchafuzi wa mazingira bado hakijulikani. Chombo hicho bado kilikuwa kinateketea leo Jumatatu.
Licha ya kuwa na usajili wa Panama meli hiyo inamilikiwa na kampuni ya Iran.
Sanchi ilikuwa imebeba tani 136,000 za mafuta ya Iran wakati iligongana na meli ya mizigo ya China Jumamosi usiku.

Wahudumu 21 wa meli ya mizigo cha China waliokolewa.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger