Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia
mamia ya Wafanyakazi katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya
Wafanyakazi Duniani zulizofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri
mkoani Dodoma.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
ameshikana mikono na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi
TUCTA wakati wakiimba wimbo wa Mshikamano Daima katika kilele cha
Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika
Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma .
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi
kombe la ushindi wa jumla kwa Rais wa TUCTA Gratian Mukoba katika kilele
cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika
Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi
Cheti cha Mfanyakazi bora kutoka Ofisi ya Rais Ikulu Ndugu Peter
Chisunga katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya
Wafanyakazi Duniani zilizofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri
mkoani Dodoma.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia
namna ya uokozi katika majanga mabalimbali yanayotokea Migodini nje ya
uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.(P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment