
NA HAMZA TEMBA – WMU
Waziri wa Maliasili na Utalii Prof.
Jumanne Maghembe ametangaza mabadiliko makubwa katika biashara ya mkaa
nchini na kusema kuwa kuanzia mwezi Julai mwaka huu hakuna mkaa wowote
utakaosafirishwa kutoka wilaya moja kwenda nyingine ili kunusuru misitu
inayoteketea kwa kasi hapa nchini.
SHARE
No comments:
Post a Comment