TRA

TRA

Thursday, June 22, 2017

WANAWAKE WA KANISA LA PENTEKOSTE TANZANIA WAFANYA KONGAMANO LA TATU JIJINI DAR ES SALAAM

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !




Askofu Saldonie Simon Sinde akiwasalimia akina mama katika Kongamano la Tatu la Wanawake wa Muungano wa Makani ya Pentekoste Tanzania (UW-MMPT), lililoanza Katika Kanisa hilo Sinza Afrika Sana Dar es Salaam juzi. Askofu Sinde pia alivitambulisha vitabu vyake viwili alivyoviandika.

                        Mama Askofu, Obedi Fabian, Ruth Obedi akizungumza katika kongamano hilo.

Maaskofu wa Kanisa hilo wakionesha kitabu cha Mbinu ya Kufundisha Watoto kilichoandikwa na Askofu Sinde (wa kwanza kushoto), ambacho kinauzwa shilingi 8000. Kutoka kulia ni Askofu Obeid Fabian Hofi, Eliezar Isacka Mauge, Methusela John Mperana Askofu, Erasto Makala.

Naibu Katibu Mkuu wa Misheni, Joyce Innocent akisherehesha kongamano hilo.

                                  Kongamano likiendelea.

                                  Wakina mama wakiwa kwenye kongamano hilo.

                           Usikivu katika kongamano hilo.

Taswira katika kongamano hilo.

                              Maombi yakifanyika.

Kwaya ya Praise Team ikitoa burudani ya nyimbo za kusifu.

                    Viongozi wa muungano wa wanawake wa Kanisa hilo.

                               Viongozi hao wakionesha mshikamano.

Furaha katika Kongamano hilo.
(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com-

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger