TRA

TRA

Monday, July 10, 2017

INAUMA KWELI. ATUPWA NJE MICHUANO YA WIMBLEDON

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Nadal alitarajia kupata taji la tatu mfululizo la Wimbledon

Matumaini ya Rafael Nadal kushinda taji la tatu la Wimbledon yameyeyuka baada ya kukubali kichapo kutoka kwa Gilles Muller wa Luxembourg.

Mshindi huyo wa vikombe vikubwa 15 alianza vyema kabla ya Muller kumgeuzia kibao na kushinda kwa seti 6-3 6-4 3-6 4-6 15-13 ndani ya saa nne na dakika 47. 

Kushindwa huku kumemmfanya Nadal kukosa kikombe hicho kwa mara ta tatu mfululizo kama alivyofanya kwa French Open.

Muller, 34, atapambana na Marin Cilic wa Crotia ambaye ni namba saba kwa ubora duniani katika hatua ya nane bora.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger