TRA

TRA

Friday, July 21, 2017

OKTOBA 31, 2017 KUWA MWISHO WA KUDAI MALIMBIKIZO YA MISHAHARA KUPITIA FOMU: WAZIRI KAIRUKI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !




Kairuki (Mb) akifafanua hoja mbalimbali alizopokea kutoka kwa watumishi wa umma wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala – Tarafa ya Ukonga (hawapo pichani) wakati wa kikao kazi na watumishi hao leo Jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Bw. Msongela Palela na kushoto kwake ni Katibu Tawala wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Bw. Edward Mpogolo.




Sehemu ya watumishi wa umma wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala – Tarafa ya Ukonga wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (Hayupo pichani) wakati wa kikao kazi na watumishi hao kilichofanyika leo Jijini Dar es Salaam.



Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Furaha, Bw. Daniel Song’oa akiwasilisha malalamiko yake wakati wa kikao kazi kilichowakutanisha watumishi wa umma wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala – Tarafa ya Ukonga  na  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) leo Jijini Dar es Salaam.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger