Habari
iliyonifikia asubuhi hii ya leo August 26, 2017 ni kutoka Dar es Salaam
zinahusu Ofisi za IMMMA Advocates zinazomilikiwa na Wanasheria Fatma
Karume na Lawrence Marsha zimewaka moto alfajiri ya leo.
Ofisi
hizo zipo Upanga, Dar es Salaam ambapo chanzo hakijafahamika hadi
sasa…Ayo TV na millardayo.com zinaendelea kufuatilia na zitakujuza kila
updates kuhusu tukio hilo.
SHARE
No comments:
Post a Comment