TRA

TRA

Saturday, August 26, 2017

BREAKING NEWS: OFISI ZA MAWAKILI FATMA KARUME NA LAWRENCE MARSHA ZIMEWAKA MOTO

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Habari iliyonifikia asubuhi hii ya leo August 26, 2017 ni kutoka Dar es Salaam zinahusu Ofisi za IMMMA Advocates zinazomilikiwa na Wanasheria Fatma Karume na Lawrence Marsha zimewaka moto alfajiri ya leo.
Ofisi hizo zipo Upanga, Dar es Salaam ambapo chanzo hakijafahamika hadi sasa…Ayo TV na millardayo.com zinaendelea kufuatilia na zitakujuza kila updates kuhusu tukio hilo.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger