
Kamishna wa Kodi za Ndani wa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Elijah Mwandumbya (kulia)
akimuelimisha mfanyabiashara kuhusu umuhimu wa kuwa na Namba ya
Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) wakati wa Ziara ya Kamishna Mkuu wa TRA
Bw. Charles Kichere Mjini Kahama, 23 Februari, 2018.

Meneja Elimu kwa Mlipakodi wa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bibi. Diana Masalla (kushoto)
akiangalia namna mfanyabiashara anavyopewa huduma kuhusu namna ya kupata
Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) wakati wa Ziara ya Kamishna
Mkuu wa TRA Bw. Charles Kichere Mjini Kahama, 23 Februari, 2018.

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw.
Charles Kichere (kulia) pamoja na viongozi wengine wa TRA Makao Makuu na
wa mjini Kahama wakisikiliza taarifa ya mapato toka kwa Afisa Mfawidhi
wa Forodha wa Kituo cha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Isaka, Bw.
Martin Kawonga (aliyesimama), 23 Februari, 2018.

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere (wa pili kulia) akiangalia na kutoa maagizo ya kuhifadhi eneo la ofisi ya TRA Isaka Wilayani Kahama mara alipotembelea katika ofisi hiyo kujionea shughuli za ukusanyaji mapato ya Serikali, 23 Februari, 2018

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere (aliyeshika simu) akiangalia moja ya gari linalodaiwa ushuru wakati alipotembelea katika ofisi ya TRA iliyopo Isaka Wilayani Kahama kwa ajili ya kujionea shughuli za ukusanyaji mapato ya Serikali, 23 Februari, 2018.

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere (wa pili kulia) akiangalia na kutoa maagizo ya kuhifadhi eneo la ofisi ya TRA Isaka Wilayani Kahama mara alipotembelea katika ofisi hiyo kujionea shughuli za ukusanyaji mapato ya Serikali, 23 Februari, 2018

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere (aliyeshika simu) akiangalia moja ya gari linalodaiwa ushuru wakati alipotembelea katika ofisi ya TRA iliyopo Isaka Wilayani Kahama kwa ajili ya kujionea shughuli za ukusanyaji mapato ya Serikali, 23 Februari, 2018.
(PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA-TRA
SHARE
No comments:
Post a Comment