TRA

TRA

Friday, February 23, 2018

MATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA ZIARA YA KAMISHNA MKUU WA TRA BW.CHARLES KICHERE MJINI KAHAMA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


picha 1
Kamishna wa Kodi za Ndani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Elijah Mwandumbya (kulia) akimuelimisha mfanyabiashara kuhusu umuhimu wa kuwa na Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) wakati wa Ziara ya Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Charles Kichere Mjini Kahama, 23 Februari, 2018.
PICHA 2
Meneja Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bibi. Diana Masalla (kushoto) akiangalia namna mfanyabiashara anavyopewa huduma kuhusu namna ya kupata Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) wakati wa Ziara ya Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Charles Kichere Mjini Kahama, 23 Februari, 2018.
PICHA 3.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere (kulia) pamoja na viongozi wengine wa TRA Makao Makuu na wa mjini Kahama wakisikiliza taarifa ya mapato toka kwa Afisa Mfawidhi wa Forodha wa Kituo cha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Isaka, Bw. Martin Kawonga (aliyesimama), 23 Februari, 2018.
PICHA 1
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere (wa pili kulia) akiangalia na kutoa maagizo ya kuhifadhi eneo la ofisi ya TRA Isaka Wilayani Kahama mara alipotembelea katika ofisi hiyo kujionea shughuli za ukusanyaji mapato ya Serikali, 23 Februari, 2018
PICHA 3
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Charles Kichere (aliyeshika simu) akiangalia moja ya gari linalodaiwa ushuru wakati alipotembelea katika ofisi ya TRA iliyopo Isaka Wilayani Kahama kwa ajili ya kujionea shughuli za ukusanyaji mapato ya Serikali, 23 Februari, 2018.
(PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA-TRA

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger