TRA

TRA

Wednesday, February 3, 2016

MAFUNDI WAKIENDELEA NA UJENZI WA BARABARA YA MWENGE MOROCCO.

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 

  Mafundi wakiendelea na ujenzi wa barabara ya Bagamoyo kipande cha kilometa 4.3 cha Mwenge – Morocco, leo jijini Dar es Salaam, ambayo ni kutekeleza agizo la Rais Dkt. John Pombe  Joseph Magufuli.
 Scavertor kikichota undongo na kupakia katika magari kwenye barabara ya Mwenge hadi Morocco kwa kuongeza njia mbili za lami leo jijini Dar es Salaam.

Fundi akitoa maelekezo kwa mwendasha Scavertor katika barabara ya Mwenge hadi Morocco kwa kuongeza njia mbili za barabara za lami leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni matumizi ya Fedha za Uhuru zilizoagizwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kutengeneza Barabara hiyo.



(Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii).

Author:

«
Next
MAADHIMISHO YA SARATANI, KWENDA SAMBAMBA NA UTOAJI ELIMU YA UGONJWA HUO.
»
Previous
WANAFUNZI IFM WATEMBELEA DUKA JIPYA LA AIRTEL EXPO.

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger