TRA

TRA

Saturday, May 7, 2016

Meya mpya aweka historia Uingereza

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Alfajiri ya May 7 nchi ya Uingereza kupitia jiji lake la London imeingia kwenye historia mpya kwa mara ya kwanza, baada ya kupata meya wa kwanza muislamu na asiye na asili ya Uingereza Sadiq Khan, Khan ametangazwa rasmi. kuwa mshindi wa umeya wa London.
_89624265_khan2
Sadiq Khan
Khan ambaye alikuwa anagombea nafasi hiyo na wapinzani zaidi ya wawili, amefanikiwa kushinda umeya kwa asilimia 56.8 akifuatiwa kwa karibu na mshindani wake mkuu Tory Zac Goldsmith ambaye amefanikiwa kupata asilimia 43.2.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger