Alfajiri ya May 7 nchi ya Uingereza kupitia jiji lake la London imeingia kwenye historia mpya kwa mara ya kwanza, baada ya kupata meya wa kwanza muislamu na asiye na asili ya Uingereza Sadiq Khan, Khan ametangazwa rasmi. kuwa mshindi wa umeya wa London.
Sadiq Khan
Khan
ambaye alikuwa anagombea nafasi hiyo na wapinzani zaidi ya wawili,
amefanikiwa kushinda umeya kwa asilimia 56.8 akifuatiwa kwa karibu na
mshindani wake mkuu Tory Zac Goldsmith ambaye amefanikiwa kupata asilimia 43.2.
SHARE








No comments:
Post a Comment