Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
Dkt. Asha-Rose Migiro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza katika
Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza
Dkt. Asha-Rose Migiro mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania
nchini Uingereza katika Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika
picha na Dkt. Asha-Rose Migiro Balozi wa Tanzania nchini Uingereza,
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi
John Kijazi katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia
jambo na Dkt. Asha-Rose Migiro Balozi wa Tanzania nchini Uingereza
pamoja na Profesa Cjanaphas Migiro mme wa Dkt. Asha-Rose mara baada ya
tukio la uapisho katika Ikulu ndogo ya Chwamwino mkoani Dodoma.(P.T)
SHARE








No comments:
Post a Comment