TRA

TRA

Friday, May 6, 2016

TCRA YATOA MAFUNZO YA MATUMIZI YA HUDUMA ZA MITANDAO KWA WIZARA YA HABARI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


TC1
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaana Michezo Bi.Nuru Khalfani Mrisho akizungumza  wakati akifungua  mafunzo mafupi ya matumizi ya huduma za mawasiliano na mitandao ya kijamii yanayotolewa kwa watumishi wa wizara ya habari,utamaduni,Sanaa na michezo.Wengine
TC2
Meneja Mawasiliano Mamlaka ya mawasiliano Tanzania(TCRA) Bw.Innocent Mungy akitoa mada ya ukuaji wa sekta ya mawasiliano na changamoto zake kwa watumishi wa umma kutoka wizara ya habari,utamaduni,Sanaa na Michezo leo jijini Dar es Salaam.
TC3
Kaimu Mkurugenzi Mamlakaya Mawasiliano Tanzania(TCRA)Mhandishi James Kilaba  akizungumzana katika warsha hiyo iliyofunguliwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaana Michezo Bi.Nuru Khalfani Mrisho.
TC4
Watumishi wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaana Michezo wakifuatilia kwa karibu mafunzo ya Matumizi Mazuri ya huduma za  Mawasiliano na mitandao ya kijamii iliyotolewa leo hii na mamlaka ya Utangazaji Tanzania.(P.T)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger