TRA

TRA

Sunday, June 26, 2016

EFM REDIO TEAM YAISAMBARATISHA BONGO FLEVA FC KWA BAO 4-3

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Mechi ya kirafiki iliyochezwa jumapili ya Juni 06, 2016 baina ya EFM redio na bongo fleva imevutia mashabiki wapande zote mbili ambapo EFM ilishinda kwa magoli 4-3 dhidi ya Bongo Fleva 

Mechi hiyo iliyopigwa katika Uwanja wa Tanganyika Packas, Kawe Jijini Dar es salaam, ililenga kuimarisha afya, kukuza urafiki uliopo kati ya EFM redio na wasanii wa bongo fleva pamoja na kufahamiana zaidi.
Kikosi kamili cha EFM REDIO.
Kikosi cha BONGO FLEVA FC.
Msanii T.I.D akiwa tayari kwa mtanange huo.
Amini na Rich One.

Mtanange ukiendelea huku mshike mshike ukiwa kwa pande zote.
Kiungo mchezeshaji wa timu ya Bongo Fleva Fc, KR Mullah Jibaba akiangalia namna ya kumkabili Mshambuliaji wa timu ya EFM REDIO.
Umati wa wapenzi wa soka hilo ukiwa umefurika kwa wingi katika dimba la Tanganyika Packas, Kawe Jijini Dar es salaam.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger