Naibu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura
akieleza jinsi Tanzania ilivyofanikiwa kuhama kutoka mfumo wa urushaji
wa matangazo ya Televisheni kutoka Analogia kwenda Digitali katika
mkutano wa tatu wa ushirikiano wa vyombo vya Habari kati ya nchi za
Afrika na China unaofanyika Beijing nchini China.
Naibu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura
(Kulia) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof. Elisante Ole Gabriel wakiwa
katika ukumbi wa mikutano jana kabla ya kufunguliwa kwa mkutano wa tatu
wa ushirikiano wa vyombo vya Habari kati ya nchi za Afrika na China
unaofanyika Beijing nchini China.
Naibu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura
(Katikati), Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof. Elisante Ole Gabriel
(kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Star Media Tanzania Liao Lanfang
wakibadilishana mawazo jana kabla ya kufunguliwa kwa mkutano wa tatu wa
ushirikiano wa vyombo vya Habari kati ya nchi za Afrika na China
unaofanyika Beijing nchini China.
Mkutano wa Ushirikiano wa vyombo vya habari kati ya nchi za Afrika na China ukiendelea mjini Beijing nchini China.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante
Ole Gabriel (kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji
Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari
(Maelezo) Zamaradi Kawawa wakibadilishana mawazo jana kabla ya kuanza
kwa mkutano wa tatu wa ushirikiano wa vyombo vya Habari kati ya nchi za
Afrika na China unaofanyika Beijing nchini China.
Picha na Mpigapicha wetu (P.T)
SHARE








No comments:
Post a Comment