
Hivi
ndivyo moto mkubwa ulivyokuwa ukiwaka katika Bohari la 7 General
Enterprises ambapo walikuwa wakihifadhia Mataili, mchana eneo la
Mikocheni Jijini Dar es salaam.

Vikosi mbalimbali vya zima moto kutoka Serikali na Makampuni binafsi wakiendelea na juhudi za kuuzima moto huo.

Baadhi ya watu mbalimbali wakiendelea kushuhudia tukio hilo la kuteketea kwa Bohari

Moto Mkubwa ukiendelea kuwaka

Kamanda
wa Polisi Mkoa wa kipolisi wa Kinondoni Suzan Kaganda akizungumzia kwa
ufupi tukio hili na kusema kuwa kwa sasa hawezi zungumza chochote mpaka
moto utakapozimwa kabisa

Hapa mpaka Trekta nalo lilihusika katika kuhakikisha moto huo unazimika

Mmoja wa
waandishi wa Habari ambaye hakujulikana anatokea katika chombo gani
akiwa anaendelea kutafuta sehemu nzuri ya kuchukua taarifa. (P.T)
SHARE








No comments:
Post a Comment