TRA

TRA

Thursday, May 25, 2017

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LASHEREHEKEA KUWASILI KWA NDEGE YAKE YA 10 AINA YA A380

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


 Wafanyakazi wa shirika la ndege la Etihad wakifurahia kuwasili kwa ndege yao ya 10 na ya Mwisho aina ya A380
 Ndege ya Etihad A380s inatoa huduma kutokea nchi za uarabuni kwenda mji mkuu wa London, Sydney, New York na kuanzia tarehe 01/07/2017 watakua Paris.        

 Wafanyakazi wa shirika la Ndege la Etihad wakijumuika pamoja katika uwanja wa ndege wa Hamburg Finkenwerder nchini ujerumani barani Ulaya ambapo ndege hiyo ilizinduliwa rasmi na kukabidhiwa kwa shirika la ndege la uarabuni kabla ya kuanza safari zake za uwasilishaji nchini  Abu Dhabi.
   
Ndege za aina ya A380s zilizojishindia tuzo kadhaa, ni ndege za kibiashara zenye utofauti wa kipekee kwenye huduma zao kama malazi –vyumba vitatu vyenye ukubwa wa kuweza kuishi watu mpaka wawili vikiwa na sebule, bafu binafsi na chumba cha kulalia. Ndege hizi pia zinajivunia kuwa na “appartments” 9, studio za biashara 70, mahala pa kupumzikia na siti nzuri 415 kwenye daraja la uchumi.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger