Kampuni ya
uchimbaji madini ya Acacia imekubali kuilipa serikali ya Tanzania
nyongeza ya mrabaa wa kati ya asilimia 4 mpaka 6 kama ilivyoainishwa
kwenye muswada wa sheria mpya ya madini nchini humo.
Rais Magufuli akihesabu makontena yenye mchanga wenye madini alipofanya ziara ya kushtukiza mwezi Machi
- Mambo muhimu kuhusu sakata ya madini Tanzania
- Bunge la Tanzania lapitisha sheria za madini
- Magufuli amfuta kazi waziri wa nishati
SHARE








No comments:
Post a Comment