TRA

TRA

Saturday, July 22, 2017

TAMASHA LA URITHI WA UTAMADUNI WA CHINA LAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 Pix 06
Kikundi cha Confucius toka Dodoma kikitoa burudani  wakati wa uzinduzi wa tamasha la urithi wa utamaduni wa China mapema Julai 21, 2017 jijini Dar es Salaam.
Pix 01
Mkurugenzi wa kituo cha Utamaduni cha Ningxia nchini China Bi. Hui King akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa tamasha la urithi wa utamaduni wa China mapema Jijini Dar es Salaam.
Pix 02
Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje ya Wizara ya Utamaduni wa China Bw. Zheng Hao akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa tamasha la urithi wa utamaduni wa China mapema Jijini Dar es Salaam
Pix 03
Balozi wa China Dkt. Lu Youqing akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa tamasha la urithi wa utamaduni wa China mapema Jijini Dar es Salaam.

Pix 04
Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni toka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Bi. Lily Beleko akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa tamasha la urithi wa utamaduni wa China Jijini Dar es Salaam.

Pix 05
Mshiriki wa maonesho toka China akiwaonesha baadhi ya Wanafunzi  toka shule ya St. Mathew namna ya kufuma vitu mbalimbali  wakati wa uzinduzi wa tamasha la urithi wa utamaduni wa China mapema Jijini Dar es Salaam.

Pix 07
Wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina wakiimba nyimbo kwa lugha ya kichina wakati wa uzinduzi wa tamasha la urithi wa utamaduni wa China mapema jijini Dar es Salaam.

Pix 08
Mkurugenzi wa kituo cha Utamaduni cha Ningxia Nchini China Bi. Hui King (kulia) akimkabidhi Balozi wa China Dkt. Lu Youqing bango lenye nembo ya Taifa la China na Tanzania wakati wa uzinduzi wa tamasha la urithi wa utamaduni wa China mapema Jijini Dar es Salaam.

Pix 09
Mkurugenzi wa kituo cha Utamaduni cha Ningxia Nchini China Bi. Hui King (kushoto) akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni toka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Bi. Lily Beleko bango lenye Nembo ya Taifa la China na Tanzania wakati wa uzinduzi wa tamasha la urithi wa utamaduni wa China mapema Jijini Dar es Salaam.

Pix 10
Balozi wa China Dkt. Lu Youqing (katikati) akikata utepe pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni toka wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Bi. Lily Beleko na Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje ya Wizara ya Utamaduni wa China Bw. Zheng Hao kuashiria uzinduzi rasmi wa tamasha la urithi wa utamaduni wa China mapema Jijini Dar es Salaam.

Pix 11
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni toka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Bi. Lily Beleko (mwenye kilemba chekundu) akiangalia baadhi ya bidhaa zilizotengenezwa kwa kamba za katani wakati wa uzinduzi wa tamasha la urithi wa utamaduni wa China mapema Jijini Dar es Salaam. (PICHA NA ELIPHACE MARWA – MAELEZO)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger